Hivi ni vivutio vinavyopatikana katika mbuga zetu za tanzania kama mikumi ngorongoro,manyara,ruaha national park nk tuwe wa kwaza kuvitangaza kwa kujipa kipaumbele.HUU NI MUONEKANO WA VIVUTIO VYETU NDANI YA TANZANIA@methodkiteve.hhawa ni samaki wanaopatikana hapa kwetu tanzaniahuu ni muonekano wa ziwa manyara likiwa namuonekano wa aina yakehaya ni mapolomoko ya mlima kilimanjaro kama yanavyoonekana yakitiririsha majihizi ni hifadhi zetu nani ya tanzania kama zinavyoonekana
huu ni muonekano wa madhali ya mkoa wa iringa kama unavyoonekana
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni