Alhamisi, 16 Aprili 2015

TUTANGAZE UTALII WETU WA NDANI

Tanzani tunavivutio vingi lakini sisi wenyewe hatuna kipaumbele katika kutembelea mbuga zetu lakini tunasubili mbaka wageni ndo tujuwe tunavivutio kwanini tusiwe wakwaza sis alafu wao wafuate pia tutakuwa tunatangaza inchi yetu ipasavyo kwani watalii wa nche wakija tanzania wakakukuta wewe mtanzania upo mbugani au mahali popote ukitembelea vivutio mbalimbali hata wao watakuwa na moyo wakuja kutembelea na kwenda kutangaza kwao tutangaze utalii wetu.HIVI NI BAADHI YA VIVUTIO VYETU NDANI YA TANZANIA.

Hili ni ziwa manyara linalopatikana mkoani manyara kama linaloonekana
Hapa ni watalii wanaotembelea mlima kilimanjaro kama wanavyoonekana.
Hapa ni watalii wakipumzika katika safari ya kupanda mlima.
Hawa ni watalii wakiwa katika gate lakuingilia katika mlima kilimanjaro.
Hawa ni watalii wanaopandisha mlima kilimanjaro kama wanavyoonekana.
Hawa ni wamasai kama wanavyoonekana
Hawa ni wapanda mlima wakiwa katika mapumziko .
Hizi ni baadhi ya hotel zinazotumiwa na watalii wetu.
Hawa ni wamasai wakiwa na watalii wetu wakifurahia utalii wetu.
Hapa mpanda mlima wa mlima kilimanjaro kama anavyoonekana tayar kuufikia mlima kilimanjaro
Hawa ni baadhi ya pundamilia wakiwa katika mbuga zetu kama wanavyoonekana
Hawa ni vyumbu wanapatikana ngorongoro kama wanavyoonekana
Huyu ni simba akiwa mtini kama anavyoonekana
Huu ni muonekano wa mlima kilimanjaro
Huyu ni ndege aina ya mbuni kama anavyoonekana
Huyu ni twiga mnyama mwenye asili ya upole kama anavyoonekana.
Hawa ni wamasai wakazi wa manyara kama wanavyoonekana.
Kila mtanzania awe wakwaza kuitangaza nchi yake katika sekta ya utalii ili tuweze kukua kiuchumi.@method kiteve.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni