Jumanne, 23 Juni 2015

KUKISILI KWA UJANGILI

Serikali ya marekani yatoa shilingi milioni 60 kwaajili ya serikali ya Tanzania tanzania kwaajili ya kupambana na ujangili.kwani tembo wengi pamoja na falu wanauwawa sana ambapo inapelekea kutoweka kabisa kwa wanyama hawa.mh nyarandu waziri wa mariasili na utalii akisaini makubalianoAsikar wa nyama pori wakiwa wanatazama tembo alieuawaHizi ni pembe za ndovu ambazo zilikamatwa kwa majangiriTembo akiwa ameuawa na majangiri na kung'olewa pembe.Tembo alieuawa na majangiri kama anavyoonekanaHuyu pia ni tembo alieuwawa na majangiriTuungane kwa pamoja kupambana na ujangiri ili kulinda heshima ya nchi yetu.